Conscious talks and conversations for black women on a journey to evolve to a higher level of being.
…
continue reading
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
…
continue reading

1
DRC: Kabila aripotiwa kufikia Goma, huku chama chake kikifungiwa
10:11
10:11
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:11Rais wa zamani wa DRC, Joseph Kabila, Aprili 18, aliripotiwa kurejea nchini na kufikia jijini Goma, linalodhibitiwa na waasi wa M 23. Hata hivyo, taarifa hizi hazijathibitishwa rasmi. Serikali jijini Kinshasa, nayo imesitisha shughuli zote za kisiasa za chama chake cha PPRD. Kabila anashtumiwa na serikali kwa kuunga vitendo vya waasi hao.…
…
continue reading

1
Rwanda na DRC zawasilisha mapendekezo kuhusu mkataba wa amani
10:23
10:23
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:23Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zimewasilisha mapendekezo ya rasimu ya mkataba wa amani kwa Marekani, kujaribu kutafuta mzozo wa Mashariki mwa DRC. Nchi hizo mbili zinatarajiwa kutia saini mkataba wa kudumu mwezi Juni, jijini Washington. Harakati hizi, zitazaa matunda ?By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Kenya: Upinzani utamtikisa Ruto uchaguzi wa mwaka 2027 ?
10:16
10:16
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:16Wanasiasa wakuu wa upinzani nchini Kenya, wakiongozwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, Aprili 29 2025, walikutana jijini Nairobi kuanza mikakati ya kuunda muungano mpya, kwa maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Je, muungano huu ambao pia umemjumuisha aliyekuwa Waziri wa usalama Fred Matiang’i, unaweza kumtikisa rais William Ruto waka…
…
continue reading

1
Tundu Lisssu afunguliwa kesi ya uhaini, CHADEMA matatani
9:29
9:29
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:29Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, Tundu Lissu, Aprili 10 alifunguliwa kesi ya uhaini, baada ya kukamatwa akiwa kwenye kampeni ya kisiasa, kushinikiza mageuzi kwenye mchakato wa uchaguzi, uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba.By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Tanzania: CHADEMA yashinikiza mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu
9:54
9:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:54Mwezi Oktoba 2025, wananchi wa Tanzania, watashiriki kwenye uchaguzi Mkuu, kuwachagua madiwani, wabunge na rais. Hata hivyo, chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA, kikiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, kinashinikiza mageuzi kwenye sheria za uchaguzi kabla ya kufanyika kwa uchaguzi huo. Je, kitafanikiwa katika harakati zake ?…
…
continue reading

1
Mkuu wa majeshi nchini Kenya akemea wanaomtaka rais Ruto aondoke
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03Mkuu wa Majeshi nchini Kenya, Jenerali Jenerali Charles Kahariri na Mkuu wa idara ya ujasusi Noordin Haji, wameonya dhidi ya kampeni inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na mikutano ya hadhara ya –Ruto Must Go- au Ruto lazima aondoke, inatishia hali ya kisiasa nchini Kenya na ni lazima, ikome. Je, jeshi la Kenya linaingilia siasa ? Tunajadili……
…
continue reading

1
Harakati za kumaliza mzozo wa DRC, nani atafanikisha ?
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09Wiki hii tunaangazia kinachojiri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya Angola kujiondoa kama mpatanishi wa mazugumzo ya mzozo wa Mashariki mwa nchi hiyo, rais Paul Kagame na Tshisekedi wakutana Doha na mazungumzo ya kisiasa yanayolenga kuunda serikali ya umoja wa kitaifa, yazinduliwa jijini Kinshasa. Wachambuzi wetu ni Mali Ali, akiwa P…
…
continue reading

1
Nani ataisadia Sudan Kusini, isirejee kwenye vita ?
10:17
10:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:17Sudan Kusini inakabiliwa na wasiwasi wa kujipata tena kwenye vita vipya, kufuatia mzozo wa hivi punde kati ya vikosi vya rais Salva Kiir na Makamu wake wa kwanza wa Riek Machar, baada ya kushambuliana kwenye jimbo la Upper Nile. Nini kinaweza kufanyika kuzuia mzozo mpya ? Wachambuzi wetu ni Dokta Brian Wanyama, kutoka Kenya na Hamdum Marcel akiwa M…
…
continue reading

1
Serikali ya umoja wa kitaifa itasuluhisha mzozo wa DRC ?
10:12
10:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:12Wakati huu serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, inapoendelea kukabiliwa na changamoto ya usalama Mashariki mwa nchi hiyo, baada ya waasi wa M23 kuingia katika miji ya Bukavu na Goma, rais Felix Tshisekedi ametangaza mpango wa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuwashirikisha wanasiasa wa upinzani. Tunajadili iwapo hatua hii itasaidia …
…
continue reading

1
Je, Raila ataegemea upande gani wa kisiasa ?
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga , yupo kwenye harakati za mashauriano ya kisiasa na wafuasi wake, kabla ya kutangaza mustakabali wake wa kisiasa baada ya kukosa uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika. Je, Raila ataegemea upande gani ? Tunachambua.By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Hatima ya mzozo wa Sudan baada ya RSF kusaini mkataba wa kuunda serikali mbadala
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52Wajumbe wa kisiasa kutoka kundi la RSF linaloongozwa na Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo linalopigana na wanajeshi wa Sudan, walikutana jijini Nairobi na kutia saini mkataba wa uundwaji wa serikali mbadala kwenye maeneo wanayodhibiti. Nini hatima ya mzozo wa Sudan ?By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Mahamoud Ali Youssouf ashinda Uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika
9:35
9:35
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:35Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahmoud Ali Youssouf alichaguliwa na wakuu wa mataifa ya Afrika Februari 15 2025, kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika na kumshinda mwanasiasa mkongwe na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga. Tunachambua ushindi wake na kazi kubwa inayomsubiriBy RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Je, maazimio ya jumuiya za EAC na SADC kuhusu DRC yatatekelezwa ?
10:08
10:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:08Makala ya Wimbi la Siasa wiki hii tunaangazia maazimio ya wakuu wa serikali na nchi kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki na SADC waliokutana Februari jijini Dar es Salaam, kuthathmini hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Miongoni mwa maazimio hayo ni usitishwaji wa vita bila masharti kati ya waasi wa M23 na wanajeshi wa DRC…
…
continue reading

1
Nini hatima ya Afrika baada ya Trump kusitisha misaada ?
10:19
10:19
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:19Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya kurejea madarakani Januari 20, ametangaza hatua ya serikali yake, kusitisha misaada hasa ya kifedha kwa nchi za kigeni, kupitia Shirika la Misaada ya Kimataifa (USAID). Hatua hii inamaanisha nini hasa kwa mataifa ya Afrika ? Tunajadili hili kwa akina na Suba Churchil, rais wa kituo cha taifa cha mashirika ya …
…
continue reading

1
Nini suluhu ya mzozo wa Mashariki mwa DRC ?
10:08
10:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:08Wiki hii mapigano makali yameshuhudiwa jijini Goma, kati ya wanajeshi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M 23 wanaoripotiwa kuungwa mkono na nchi ya Rwanda. Nini suluhu ya mzozo wa Mashariki mwa DRC ?By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Rais Samia ateuliwa na cham chake kuwania urais mwaka 2025
10:20
10:20
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:20Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba. Tunachambua hatua hii.By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Vita Mashariki mwa DRC vyawaathiri maelfu ya watu Masisi
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Tunaangazia kuendelea kwa vita Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kati ya jeshi la serikali FARDC wanaoshirikiana na wapiganaji wa Wazalendo dhidi ya waasi wa M 23 wanaoungwa mkono na Rwanda. Watu zaidi ya 100, 000 wameyakimbia makaazi yao katika wilaya ya Masisi tangu kuanza kwa mwaka 2025 kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa. Nini suluhu y…
…
continue reading

1
Tanzania: Mbowe na Lissu wakiweka CHADEMA njia panda
10:11
10:11
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:11Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, kitawachagua vongozi wa ngazi ya juu wa chama hicho, Januari tarehe 21. Kibarua kigumu kipo kwenye ushindani wa nafasi ya Mwenyekiti. Freeman Mbowe ambaye amekuwa akiongoza chama hicho kwa zaidi ya miaka 20 na Makamu wake Tundu Lissu, ni miongoni mwa watia nia waliojitosa kupambania nafasi hiyo. Waw…
…
continue reading

1
Msumbiji yaendelea kujipata kwenye mvutano wa kisiasa
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02Heri ya mwaka mpya wa mwaka 2025. Nchi ya Msumbiji bado ipo kwenye mvutano mkali wa kisiasa, baada ya uchaguzi wa mwezi Oktoba mwaka 2024. Hali imeendelea kuwa mbaya baada ya Baraza la Katiba, kuthibitisha ushindi wa Daniel Chapo kutoka chama tawala FRELIMO, kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais huku kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane, akiendelea k…
…
continue reading

1
Hatua ya rais wa Kenya kuwateua wandani wa mtangulizi wake yazua maswali
10:16
10:16
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:16Makala ya wimbi imeangazia hatua ya rais wa Kenya, William Ruto, kuwajumuisha katika serikali yake mawaziri kadhaa waliohudumu wakati wa utawala wa mtangulizi wake Uhuru Kenyatta, na vile vile wandani wake kinara wa upinzani Raila Odinga., na hii ni licha ya yeye kuapa kutohusisha wapinzani kwenye Serikali yake; Ruben Lukumbuka anazungumza na Edwin…
…
continue reading

1
Kufeli kwa mkutano wa Luanda kwazua sintofahamu zaidi kwa usalama wa DRC
10:17
10:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:17Nini mustakabali wa eneo la mashariki ya DRC baada ya mkutano wa Luanda ambao uliitishwa na rais wa Angola kushindikana? Tarehe 15/12/2024 Rais Joao Laurenco wa Angola alikuwa amepanga kuwakutanisha marais wa DRC Félix Tshisekedi, na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame, mkutano ambao haukufanyika kwa sababu rais wa Rwanda hakuridhia kushiriki. Ruben Luk…
…
continue reading

1
Uchaguzi mkuu wa Ghana: Chama tawala NPP kushindwa na chama cha upinzani NDC unatoa funzo gani?
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Nchini Ghana, rais wa zamani John Dramani Mahama alipata ushindi mkubwa na kumaliza uongozi wa miaka minane wa chama tawala New Patriotic Party (NPP) chake rais Nana Akufo-Addo, anayeondoka madarakani baada ya kuongoza kwa mihula miwili.By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Umoja wa Mataifa unaadhimisha Siku 16 za Unaharakati dhidi ya Dhuluma za Kijinsia
10:21
10:21
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:21Siku 16 za uanaharakati dhidi ya ukatili wa kijinsia ni kampeni inayofanyika kila mwaka kati ya Novemba 25 hadi Desemba 10. Ni kampeni ya siku 16 inayolenga kuhamasisha umma jinsi ya kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na wasichana. Siku hiyo ilianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1991,siku hii inaongozwa na Kituo cha kimataifa cha Wanawake tarehe 10 ili…
…
continue reading

1
Wakaazi wa jimbo la Somaliland wapiga kura kumchagua rais na wabunge
10:06
10:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:06Wakaazi wa jimbo la Somaliland, mojawapo wa êneo lililojitenga na Somalia zaidi ya miaka 30 iliyopita, tangu mwaka 2003 wamekuwa wakishiriki kwenye uchaguzi wa kumchagua rais na wabunge wao. Fursa hiyo pia imekuja Novemba tarehe 13 mwaka 2024 ambapo wapiga kura Milioni 1 waliondikishwa na Tume ya Uchaguzi ya Somaliland wanamchagua rais atakayewatum…
…
continue reading

1
Conversation 009 Don't just give up or give in
9:33
9:33
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:33My thoughts around my experience of almost losing my dream.By Chakee
…
continue reading
Yeah so this one kinda feels like a rant, but hopefully you can find a jewel in there somewhere.By Chakee
…
continue reading
Welcome Back Friend! This is a quick conversation from your future self to encourage you to fortify yourself and your actions right now so the you in a year from today will be an evolved version of you. Love and Light! IG: Emerge_ChakeeBy Chakee
…
continue reading
This week's conversation is about the book "The Four Agreements" by Don Miguel Ruiz. With a personal story of application. Thanks for coming by. I hope you enjoy it!By Chakee
…
continue reading
How do you eat the elephant? One bite at a time. This week's podcast is about planning your steps to get to your goals/dreams. Let's chatBy Chakee
…
continue reading
In this conversation it is all about you! And how I see you. You are amazing!By Chakee
…
continue reading
Connecting the dots of your life events is not something you do in the present. It is something that you can only see in retrospect. And as you start to connect the events you can see how everything you go thru helps to steer you in the direction that you need to go. Stop judging independent life events and just live! Without struggle there is no p…
…
continue reading

1
Conversation 002 I'm coming out- Bye Fear
22:06
22:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
22:06Stepping out of fear and a dream deferred.By Chakee
…
continue reading

1
Conversation 001 A dream no longer deferred.
7:06
7:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
7:06The emergence of " The evolution of Us" podcast begins with a question and takes a peek into the heart of a dreamer who left her dream on the shelf. And it ends with the dreamer taking a step out of the shadows of a shelfed dream and into the dream. Come on in the room and let's have a conversation.By Chakee
…
continue reading